USIONE AIBU KUTIBU BAWASIRI
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo la kuota kinyama sehemu ya haja kubwa (bawasiri).
Dr.jumaah
0783708295
0778351369
Kutokana na kupata tatizo sehemu hiyo, wengi huona aibu kuelezea au kwenda hospitali kupata tiba.
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya ndani na nje, sehemu ya haja kubwa.
Wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita Hemorrhoids, ilhali kwa Kiingereza unafahamika kwa jina la Piles.
Tatizo hili huweza kumuathiri mtu yeyote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto.
Inakadiriwa kuwa karibu asilimia 50 ya watu wote wenye umri kati ya 30-50 wako katika hatari ya kupata tatizo hili.
Tiba ya bawasiri
Imezoeleka kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula, hakika njia hiyo siyo nzuri na huwa rahisi kujirudia.
AINA ZA BAWASIRI
Bawasiri ya ndani
Aina hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haina maumivu na wengi huwa hawajitambui kama wana tatizo hili.
Bawasiri ya ndani hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa ndani ya mfereji wa sehemu ya haja kubwa.
Aina hii imegawanyika katika madaraja manne:-
Daraja la kwanza; hii ni bawasiri ambayo haitokei mahali pale panapohusika.
Daraja la pili; hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.
Daraja la tatu; hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu huweza kurudisha (kinyama) ndani yeye mwenywe.
Daraja la nne: hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi.
Bawasiri ya nje
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa sehemu ya haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la haja.
Pia, husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha bawasiri iitwayo Thrombosed Hemorrhoids.
Madhara ya bawasiri
Upungufu wa damu (anemia), kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo, upungua nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa.
Madhara mengine ni kuathirika kisaikolojia hasa kwa wanawake, kukosa ari ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali na pia huweza kusababisha kifo.
TIBA BORA ZAIDI YA BAWASIRI
NOVEL DIPILE NA CONSTRELAX
Dawa asilia iliyotengenezwa kwa teknologia ya nano teknology inaondoa tatizo hili bila upasuaji
√Imetengenezwa kwa matunda aina ya CITRUS
√Huondoa maumivu na kutoka kwa damu
√Hutibu kabisa bila upasuaji aibu ya daktari
CONSTRELAX
√Hufanya update choose kilaini kwa wale wanaopata choose kigumu
√Husafisha mfumo wako WA chakula na kuondoa sumu zote mwilini
PIGA NAMBA..0783708295
..0778351369
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo la kuota kinyama sehemu ya haja kubwa (bawasiri).
Dr.jumaah
0783708295
0778351369
Kutokana na kupata tatizo sehemu hiyo, wengi huona aibu kuelezea au kwenda hospitali kupata tiba.
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya ndani na nje, sehemu ya haja kubwa.
Wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita Hemorrhoids, ilhali kwa Kiingereza unafahamika kwa jina la Piles.
Tatizo hili huweza kumuathiri mtu yeyote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto.
Inakadiriwa kuwa karibu asilimia 50 ya watu wote wenye umri kati ya 30-50 wako katika hatari ya kupata tatizo hili.
Tiba ya bawasiri
Imezoeleka kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula, hakika njia hiyo siyo nzuri na huwa rahisi kujirudia.
AINA ZA BAWASIRI
Bawasiri ya ndani
Aina hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haina maumivu na wengi huwa hawajitambui kama wana tatizo hili.
Bawasiri ya ndani hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa ndani ya mfereji wa sehemu ya haja kubwa.
Aina hii imegawanyika katika madaraja manne:-
Daraja la kwanza; hii ni bawasiri ambayo haitokei mahali pale panapohusika.
Daraja la pili; hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.
Daraja la tatu; hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu huweza kurudisha (kinyama) ndani yeye mwenywe.
Daraja la nne: hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi.
Bawasiri ya nje
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa sehemu ya haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la haja.
Pia, husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha bawasiri iitwayo Thrombosed Hemorrhoids.
Madhara ya bawasiri
Upungufu wa damu (anemia), kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo, upungua nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa.
Madhara mengine ni kuathirika kisaikolojia hasa kwa wanawake, kukosa ari ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali na pia huweza kusababisha kifo.
TIBA BORA ZAIDI YA BAWASIRI
NOVEL DIPILE NA CONSTRELAX
Dawa asilia iliyotengenezwa kwa teknologia ya nano teknology inaondoa tatizo hili bila upasuaji
√Imetengenezwa kwa matunda aina ya CITRUS
√Huondoa maumivu na kutoka kwa damu
√Hutibu kabisa bila upasuaji aibu ya daktari
CONSTRELAX
√Hufanya update choose kilaini kwa wale wanaopata choose kigumu
√Husafisha mfumo wako WA chakula na kuondoa sumu zote mwilini
PIGA NAMBA..0783708295
..0778351369
No comments:
Post a Comment