UGONJWA WA PEPOPUNDA(Tetanus),CHANZO,DALILI NA TIBA


Tetanus ni ugonjwa  hatari sana ambao kwa kiswahili hujulikana kama Pepopunda,Ugonjwa huu huhusisha athari kwenye mfumo wa Fahamu inayosababishwa na sumu ya Bacteria(toxin-producing bacterium)

Sumu hii kutoka kwa Bacteria mtu huweza kuipata baada ya kuchomwa na vitu vya ncha kali kama vile Misumari,Mabati,Chupa,sindano n.k

DALILI ZA TETANUS AU UGONJWA WA PEPOPUNDA

-Wastani kutoka kuambukizwa hadi kuonekana kwa ishara na dalili (kipindi cha incubation) ni siku 10.  Kipindi cha incubation kinaweza kuchukua siku 3 hadi 21.
Ishara na dalili za tetanus au pepopunda huanza pole pole kisha huendelea kuwa mbaya zaidi ndani ya wiki mbili.  Kawaida dalili huanza kuonekana kwenye taya na kuendelea kushuka chini ya mwilini.

Ishara na dalili za pepopunda ni pamoja na:

1. Misuli ya mwili kuwa na maumivu makali na kuwa migumu au kukakamaa,ugumu wa misuli kwenye taya n.k
2. Mvutano wa misuli kuzunguka midomo yako, wakati mwingine hutengeneza  kitu kinaitwa persistent grin
3.Misuli kukamaa na kuparalize au kupooza katika maeneo ya shingoni

4. Kupata shida sana ya kumeza kitu
5. Misuli ya tumboni kuwa migumu sana
6. Kukua kwa ugonjwa wa pepopunda husababisha maumivu yanayojirudia, pamoja na mgonjwa kupata mshtuko ambao hudumu kwa dakika kadhaa (spasms).
7. Kwa Kawaida, shingo na upande wa nyuma pamoja na miguu huwa migumu, mikono hunyooka kwa mbele huku ngumi zimekunjwa.
8. Ugumu wa misuli kwenye shingo na tumbo unaweza kusababisha shida ya kupumua.
• Kadri ugonjwa unavyoendelea, ishara zingine na dalili zinaweza kuonekana kama vile;
1. Shinikizo la damu kuwa juu au Mtu kuwa na Presha ya kupanda(High blood pressure)
2. Mapigo ya moyo kwenda mbio sana
3. Joto la mwili kuwa juu sana au mtu kuwa na Homa kali
4. Mgonjwa kuvuja Jasho sana mwiln



Ingrown toenails ni tatizo ambalo hutokea mara baada ya chembe ya sehemu ya kucha kutoboa na kuingia kwenye ngozi na hivyo kupelekea athari na maambukizi katika kidole. Kidole gumba cha mguu ndio huathirika zaidi na tatizo hili la kucha kuingia ndani ya nyama ya Kidole. 

DALILI ZA TATIZO HILI LA KUCHA KUINGIA NDANI YA NYAMA ZA KIDOLE NI PAMOJA NA;

1. Mtu kupata Maumivu makali kwenye kucha pamoja na kidole

2. Kidole kilichoathirika na shida hii kuvimba

3. Kutoa maji maji kidoleni

4. Tishu zenye rangi nyekundu kuota eneo hilo

VIHATARISHI ZA KUTOKEA KWA NA TATIZO LA KUCHA KUINGIA NDANI YA NYAMA ZA KIDOLE NI PAMOJA;

1. Mtu Kuvaa viatu vinavyobana sana mara kwa mara

2. Mtu Kukata sanaa sehemu ya pembeni ya kucha

3. Matatizo mengine ya ukucha

4. Mtu kupata Ajali zinazohusisha miguu

Mojawapo ya njia ya kuzuia tatizo hili la kucha kuota na kuingia ndani ya nyama ya kidole ni pamoja na kukata kucha vizuri na kutokuvaa viatu vya kubana sana.

Matibabu yake hutegemeana na hatua au ukubwa wa tatizo.


Haya ni majibu ya uchochezi wa bacteria kwenye mfumo wa haja ndogo(mfumo wa mkojo) ambapa unapelekea uwepo wa seli hai nyeupe kwenye mkojo.

Huu ni ugonjwa ulioenea zaidi ambao unasababishwa na bacteria ambao unawapata watu zaidi ya milioni 150 kwa mwaka.Na unawapata watu wote bila kujari umri wala jinsia.

Wanawake wako katika hatari kubwa ya kupata ugonjwa huu kuliko wanaume kwa sababu zifuatazo......

...mrija wa mkojo ni mfupi kutoka kwenye kibofu hivyo bacteria wana umbali mdogo wa kutembea
...mrija wa mkojo upo karibu na mfumo wa haja kubwa hivyo bacteria walioko kwenye mgumo wa haja kubwa huwa ni rahisi kuingia kwenye mfumo wa mkojo.

  MAMBO YA HATARI AMBAYO URAHISISHA KUPATA UTI KWA HARAKA
  ...Mabadiliko ya homoni hasa wakati wa ujauzito

....kisukari

....kuto jifanyia usafi mara kwa mara

....kishuka kwa kinga mwili

...kufanya ngono kinyume na maumbile

....kutomaliza mkijo wakati unakojoa

BACTERIA AMBAO WANASABABISHA UTI

...Escherichia coli
...s.saprophyticus
...proteus
....klebsiella
....s.aurwus
....s.epidermidis

DALILI ZA UTI

.maumivu wakati unajisaidia haja ndogo
.kuongezeka idadi ya kujisaidia haja ndogo
.mkojo kutoka wenyewe wakati umemaliza kijisaidia 
.maumivu chini ya kitofu
.mkojo kuwa na harufu mbaya


NJIA ZA KUJIKINGA NA UTI
.Kujisaidia haja ndogo mara baada ya kujaamiana
.kuzingatia usafi

Kama unakubwa na tatizo la UTI mala kwa mala uku unazingatia usafi , maana yake kinga za mwili zimeshindwa kuwadhibiti ivyo inabidi upate dawa zinazoongeza kinga ya mwili

Wasiliana nasi kupitia 
                   .0783708295
Ili iweze jipatia dawa za kuongeza kinga ya mwili.



Inaweza tokea na ukahisi tatizo lililoko kwenye mwili na kupelekea maumivu.


Ebu tuangalie maumivu yanavyohusiana na matatizo kwenye ogani za mwili.

MOYO.......
kama kunatatizo kwenye moyo ,unapata maumivu ya kifua na kuelekea kwenye mkono wa kushoto na maeneo ya shingo.
Tatizo la moyo halihusiani na upumuaji.

FIGO.....
Kupata maumivu chini ya mgongo.maumivu haya hupatikana ndani ya mbavu ila maimovu ya misuli huwa chini ya mbavu.
Maumivu yake pia huenda miguuni.

UTUMBO MDOGO....
matatizo ya utumbo mdogo hupelekea maumivu kwenye eneo La kitofu.
maumivu yakiongezeka hasa wakati unainama au unatembea muone dactari.

UTUMBO MPANA....
matatizo ya utumbo mpana husababisha maumivu chini ya kitovu hasa upande wa kulia.
kupata choo kigumu pamoja na kuharisha huwa ni dalili nyingine.

MAPAFU.....
mapafu yenyewe hayana maumivu kwasababu akuna mwishilizo wa mirija ya fahamu.
Ila kama kuna tatizo utaisi maumivu kwenye kifua,kikohozi , na kushindwa kupumua ni dalili nyingine za tatizo la kifua.

APPENDIX (KIAMBATISHO)...
hupatikana chini ya kitovu kwa upande wa kulia, maumivu huathiri eneo lote la tumbo.
maumivu pia huenda mpaka kwenye paja la kulia.dalili nyingine ni kutapika ,homa,
Choo kigumu au kuharisha.

TUMBO.....
maumivu juu ya kitovu ambayo husambaa mpaka kwenye mgongo.
maumivu haya huchanganya na kupelekea makisio kuwa ni maumivu ya moyo.

INI NA KUBOFU CHA MKOJO...
Tatizo hujionesha kwa maumivu upande wa kulia juu ya kitofu na pia hujionesha eneo hiliholo kwa nyuma.
ugonjwa wa INI huambatana na dalili nyingi kama ladha ya siki mdomoni na homa ya manjano.

KONGOSHO....
maumivu huwa katikati ya tumbo wakati mwingine tumbo kwa ujumla.
maumivu huwa makali sana ukilalia mgongo na baada ya chakula.

tweets on trend

translate

testimonials

''Nimekuwa nina shida ya vidonda vya tumbo kwa miaka 5,ila baada ya kuingia katika tovuti na kusoma nimessaidika sana na huduma za Dr Juma na huduma yake ya dawa sisizo kuwa na chemikali za Bf Suma'' kelvinNicholus

contact us

Name

Email *

Message *